Umuhimu Wa Ibada Ya Hijja Katika Uislam
1- Mada hii inazunguzia: Umuhimu na nafasi ya Hijja katika Uislam na kwamba Hijja ni wajibu na inatekelezwa kwa ajili ya Allah peke yake, pia imezungumzia ruhusa aliyoitoa Mtume (s.a.w) ya kumfanyia Mzazi Hijja. 2- Mada hii inazunguzia: Umuhimu wa hija na umuhimu wa kuwafanyia hija wazazi walio fariki, na kuwafanyia wema wazazi kwa kuwawekea waqfu, na amezungumzia nyakati za hijja pia amebainisha ubora wa kuhiji ukiwa kijana. By: Yasini Twaha Hassani, Yunus Kanuni Ngenda Source: IslamHouse.com · Yasini Twaha Hassani, Yunus Kanuni Ngenda
Comments
No comments yet. Be the first to share a beneficial reflection.