Lectures & RemindersAudio
Nini wafanye waislam ikiwa kiongozi wao ni kafiri ?
islamicmedia.tv·1 view·5 hours ago
Mada hii inazungumzia: Kauli za wanachuoni kuhusu watawala ambao ni makafiri, na hukumu ya Mwanamke kuolewa na mtu wa bid’a. By: Qasim Mafuta, Abubakari Shabani Rukonkwa Source: IslamHouse.com · Qasim Mafuta, Abubakari Shabani Rukonkwa
Comments
No comments yet. Be the first to share a beneficial reflection.