LibraryDocuments
FADHILA ZA SIKU KUMI (ZA MWANZO) ZA DHUL-HIJA
nullHuu ni ujumbe mfupi, uliokusanya mambo muhimu anayoyahitaji Muislamu katika fadhila za siku kumi za mwanzo wa Dhul-Hija. Tumezikusanya kwa ajili ya mwenye kutembelea Misikiti Miwili Mitukufu, mwanaume na mwanamke; ili wawe na elimu na utambuzi na mambo ya dini yao, tukitaraji kutoka kwa Mkarimu, Mwingi wa kuneemesha awanufaishe kwa ujumbe huu, na aufanye kuwa wenye kufaa, na uwe kwa ajili ya kutaka uso wake tu. Kwani, Yeye ndiye mbora wa wenye kuombwa na Mkarimu zaidi anayetarajiwa. Source: IslamHouse.com
Comments
No comments yet. Be the first to share a beneficial reflection.
Related
Al-Madiinatu Al-Munawwarah Fadhila zake, Msikiti wa Mtume, Chumba cha Mtume
islamicmedia.tv
1 view · 1 month ago
ringkas mengenai etika ziarah ke Masjid Nabawi beserta hukum-hukumnya
islamicmedia.tv
1 view · 15 hours ago
Brief treatise on the description of ‘Umrah, its rulings, and etiquettes
islamicmedia.tv
1 view · 15 hours ago
Supplications of Al-Wird Al-Latif and Legislated Ruqyah
islamicmedia.tv
1 view · 15 hours ago
دعــــــاء الورد اللَّطيف والرُّقية الشرعية
islamicmedia.tv
1 view · 16 hours ago
الحديث الضعيف وحكم الاحتجاج به
islamicmedia.tv
1 view · 16 hours ago
Acts of hearts in Hajj and Umrah
islamicmedia.tv
1 view · 1 day ago
المجموعة العلمية لمعالي الشيخ صالح الفوزان
islamicmedia.tv
1 view · 1 day ago
أعمال القلوب في مجالس رمضان
islamicmedia.tv
1 view · 1 day ago
الشوق الى الله
islamicmedia.tv
1 view · 1 day ago